Tue, 12 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati Macho na masikio ya wapenzi wa soka nchini yakiwa nchini Misri kusubiri Droo ya Michezo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa baraani Afroka msimu wa 2023/24.
Kumekuwa na maoni mengi kuelekea Droo hiyo kuhusiana na kuvuka kwa vilabu viwili vya Tanzania Simba na Yanga.
Mchambuzi wa Michezo kutoka Efm, Jemeadari Said amesema haoni nafasi ya wawakilishi hao wa Tanzania wakipata nafasi ya kusonga hatua ya Nusu Fainali.
Akizungumza Jemedari anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: