Wed, 18 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Mashujaa , Omary Kindamba alifunga bao lake la kwanza tangu aanze kucheza Ligi Kuu dhidi ya Ihefu septemba 16,2023 ya ushindi wa mabao 2-0 uwanja wa Lake Tanganyika.
Mlinzi wa Mashujaa , Omary Kindamba alifunga bao lake la kwanza tangu aanze kucheza Ligi Kuu dhidi ya Ihefu septemba 16,2023 ya ushindi wa mabao 2-0 uwanja wa Lake Tanganyika. Omary amevitumikia vilabu kadhaa vya Ligi Kuu kama vile JKT Tanzania,Ihefu sc na Ruvu shooting kwa misimu tofauti na amecheza Ligi Kuu kwa zaidi ya misimu 7.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: