Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Licha ya kuanza msimu wa Ligi Kuu England 2023/24 kwa kusua sua, kuna jambo la kutazama katika kalabu ya Chelsea.
Msimu wa 2014-15 Arsenal ilishinda mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Man City huku kiungo wa Chelsea Oscar akibadilisha namba ya jezi toka 11 na kuvaa jezi namba 8 mwisho wa msimu Chelsea ikatwaa ubingwa wa EPL.
Msimu huu Arsenal imemtandika City kwenye mechi ya ngao ya jamii na Enzo amebadilisha namba ya jezi toka 5 na kuvaa namba 8.
Nini kitatokea mwisho wa msimu? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live