Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wanasema Tyrell Malacia, Luke Shaw na Aaron Wan-Bissaka watakosekana kwa muda mrefu.
Manchester United wanasema Tyrell Malacia, Luke Shaw na Aaron Wan-Bissaka watakosekana kwa muda mrefu. Wachezaji hao walikumbwa na majeraha na taarifa zinasema watakaa nje ya Uwanja kwa muda mrefu hali inayozua hofu kwa Kocha Erik Ten Hag.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live