Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

James Tupatupa: Takwimu za Maxi Nzengeli kila siku zinashuka

Tupa Tupa X Maxi Mpia Nzengeli James Tupatupa: Takwimu za Maxi Nzengeli kila siku zinashuka

Mon, 11 Dec 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Wakati akionekana kuiteka mioyo ya Mashabiki wa Yanga kwa kiwango chake maridhawa akiwa Dimbani.

Kiungo wa Yanga raia wa DR Congo Maxi Mpia Nzengeli bado hajafanya vyema katika mechi za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Katika mechi tatu za Hatua ya Makundi ambazo Yanga imecheza Maxi Mpia Nzengeli hajatoa asist wala kufunga bao lolote.

Sasa mchambuzi wa Michezo kutoka Clouds FM, James Tupatupa anasema Takwimu za Maxi zinashuka kila leo.

Akizungumza Tupatupa anasema;

“Max Nzengeli kadri siku zinavyoenda ndiyo takwimu zake zinashuka.Au tumsubiri kwenye ligi kuu?”

Jibu lipi linafaa hapa? Tupe maoni yako

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: