Wed, 23 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taifa la Jamaica lipo tayari kumpa uraia Mshambuliaji wa tmu ya Taifa ya England Mason Greenwood.
Hatua hiyo imekuja baada ya raia wengi wa England kumzonga mchezaji huyo kwa kitendo chake cha kumpiga mpenzi wake.
Tukio hilo lilimpelekea kufunguliwa mashtaka ambayo baadae yalifutwa na Klabu yake Juzi Jumatatu imetoa taarifa ya kuachana nae.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live