Wed, 20 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imetangaza kuvunja Mkataba na nyota wa kimataifa wa Tanzania Simon Happygod Msuva ambaye alijiunga na klabu hiyo Julai 2023.
Klabu ya JS Kabylie ya Algeria imetangaza kuvunja Mkataba na nyota wa kimataifa wa Tanzania Simon Happygod Msuva ambaye alijiunga na klabu hiyo Julai 2023. Hivyo Msuva ni mchezaji huru. Je unatamani kumuona Msuva akitua Klabu gani kwa sasa?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live