Tue, 23 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Leo jioni kunatarajiwa kuwa na pambano la Ligi Kuu Bara katı ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga SC katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.
Leo jioni kunatarajiwa kuwa na pambano la Ligi Kuu Bara katı ya JKT Tanzania dhidi ya Yanga SC katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam. Mazingira ya uwanja huo sio rafiki Mvua zikiwa zinanyesha kama ilivyo sasa, unadhani kwa hali hii ya hewa pambano hilo litapigwa uwanjani hapo?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: