Sun, 27 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ndoto za JKT Queens kuwa timu ya pili ya Tanzania kushiriki mashindano ya Klabu Bingwa Afrika kwa wanawake zimeshikiliwa na mchezo wa fainali baada ya kuichapa Buja Queens, mabao 3-1 Uwanja wa Njeru, Uganda.
Mabao yamefungwa na Donisia Minja . Stumai Abdallah na Winfrida Gerald
JKT Queens inasubiri mchezo kati ya CBE dhidi ya Vihiga Queens saa 9:00 Alasiri
Chanzo: www.tanzaniaweb.live