Thu, 27 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Francisco Román Alarcón Suárez almaarufu ‘ISCO’ amejiunga na klabu ya Real Betis kwa uhamisho huru.
Kiungo wa zamani wa Real Madrid, Francisco Román Alarcón Suárez almaarufu ‘ISCO’ amejiunga na klabu ya Real Betis kwa uhamisho huru. Isco (31) raia wa Uhispania ambaye amekuwa mchezaji huru tangu alipositishiwa mkataba na Sevilla mnamo Disemba amesaini mkataba wa mwaka mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live