Thu, 6 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Hakan Çalhanoglu (29) raia wa Uturuki amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa miaka minne ya kuendelea kuitumikia Inter Milan mpaka Juni 2027.
Kiungo Hakan Çalhanoglu (29) raia wa Uturuki amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa miaka minne ya kuendelea kuitumikia Inter Milan mpaka Juni 2027. Wakati huo huo Alessandro Bastoni (24) raia wa Italia amesaini mkataba wa kuitumikia Inter mpaka Juni 2028.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live