Tue, 23 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Inter Milan imetwaa kombe la ‘Supercoppa Italiana’ kwa mara ya tatu mfululizo ikiwa ni mara ya 8 kihistoria kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Napoli kwenye fainali.
Inter Milan imetwaa kombe la ‘Supercoppa Italiana’ kwa mara ya tatu mfululizo ikiwa ni mara ya 8 kihistoria kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Napoli kwenye fainali. Bao pekee la ushindi la Milan katika mchezo huo limefungwa na Lautaro Martinez 90+1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live