Kocha msaidizi wa kikosi cha Simba Suleman Matola ameoneshwa kufurahishwa na kurejea kwa mlinzi wa kati wa kikosi hicho Henock Inonga ambaye alikuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa lake Congo kwenye mashindano ya Afcon ambayo yamemalizika hivi karibuni . Matola amefunguka kuwa kurejea kwa Inonga kumewaongezea nguvu na Morali kuelekea mchezo wa Mimosas kwani kila mmoja anajua kuwa Inonga ni mchezaji muhimu ndani ya kikosi cha Simba
Kocha msaidizi wa kikosi cha Simba Suleman Matola ameoneshwa kufurahishwa na kurejea kwa mlinzi wa kati wa kikosi hicho Henock Inonga ambaye alikuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa lake Congo kwenye mashindano ya Afcon ambayo yamemalizika hivi karibuni . Matola amefunguka kuwa kurejea kwa Inonga kumewaongezea nguvu na Morali kuelekea mchezo wa Mimosas kwani kila mmoja anajua kuwa Inonga ni mchezaji muhimu ndani ya kikosi cha Simba