Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Yanga SC na Mwenyekiti wa Chama cha klabu Afrika (ACA), Mhandishi Hersi Said jana Desemba 10 alishiriki kwenye mchezo wa hisani kati ya malejendi wa soka la Afrika dhidi ya wa soka nchini Morocco.
Mchezo huu uliopigwa katika uwanja wa Grande Stade de Marrakech, ulikuwa ni maalum kwa ajili ya kuchangia waathirika wa tetemeko la ardhi lililotokea Morocco Septemba mwaka huu na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 2,900.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: