Mon, 11 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mkuu wa klabu ya PSG - Paris Saint-Germain Luis Enrique amethibitisha kuwa mchezaji Kylian Mbappé ataondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu na amemtakia kila la kheri katika maisha mapya huko atakapoenda.
Kocha mkuu wa klabu ya PSG - Paris Saint-Germain Luis Enrique amethibitisha kuwa mchezaji Kylian Mbappé ataondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu na amemtakia kila la kheri katika maisha mapya huko atakapoenda. Mbappe anatajwa kusaini Mkataba wa miaka mitano na wababe wa Hispania, Real Madrid.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live