Wed, 17 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Ihefu [Singida Black Stars] yenye maskani yake mkoani Singida imetuma ofa kwenda klabu ya Coastal Union kwa ajili ya kuinasa saini ya nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania [U20] Lameck Elias Lawi.
Klabu ya Ihefu [Singida Black Stars] yenye maskani yake mkoani Singida imetuma ofa kwenda klabu ya Coastal Union kwa ajili ya kuinasa saini ya nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania [U20] Lameck Elias Lawi. Ihefu imeweka mezani Million 130 kama sehemu ya kumnunua mlinzi na nyota wa klabu ya Coastal Union huku wakisubiri kufanya mazungumzo rasmi na mchezaji juu ya maslahi yake binafsi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live