Thu, 5 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera ambaye ni shabiki wa timu ya Yanga SC na Ihefu waliokipiga jana Uwanja wa Ubaruku Jijini Mbeya na Ihefu kuibuka na ushindi wa mabao 2 -Yanga 1 amechekesha Wananchi wa Kijiji Cha Ilongo mkoani humo baada ya kusimulia alivyolia na kucheka hiyo jana.
Akizungumza na wamiliki wa Mbogomaji Wanambarali Homera ameipongeza Ihefu kwa ushindi huo na kuwataka wachezaji wa timu hiyo kuendelea kutoa dozi kwa timu zingine ikiwemo Simba.
Tazama Video hapa chini kumsikiliza Mkuu huyo wa Mkoa;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: