Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Ihefu vs Yanga kiingilio 10000

Ihefu Kimataifaaaa Ihefu vs Yanga kiingilio 10000

Mon, 2 Oct 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Baada ya siku 309 tangu Yanga ifungwe na Ihefu mabao 2-1 Novemba 29 uwanja wa Highland Estate ulipo Mbarali mkoani Mbeya na kuharibu Unbeaten yao, Oktoba 4 watakutana tena katika uwanja huo tena kwa mechi ya Ligi Kuu.

Yanga ambao ni mabingwa watetezi Ligi Kuu na sasa wapo hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika bado hawajapoteza mchezo wowote Ligi Kuu msimu huu ikiwa kileleni kwa pointi 9 wakifunga mabao 11 bila kuruhusu bao.

Ihefu ipo nafasi ya 11 ikishinda mechi moja na kupoteza mbili tayari imetangaza kiingilio cha mechi hiyo itakayoanza saa 10:00 jioni kuwa ni Sh10,000 mzunguko na VIP Sh30,000.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: