Sat, 6 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Nkana FC ya Zambia inayotishia kushuka daraja leo mchana imetangaza kunasa saini ya wachezaji wanne wapya waliosajiliwa kwa ajili ya kuibakisha timu hiyo ligi kuu:
Waliosainiwa ni;
1. Idris Mbombo- Azam
2. Monga Ndala - FC Muza
3. Austine Banda - Napsa Stars
4. Laurent Muma - Forest Rangers.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live