Wed, 17 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa Yanga Iddi Moshi 'Myamwezi' amesema anaamini Yanga ina nafasi kubwa ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo unaotarajiwa kupigwa Aprili 20,2024, katika Uwanaja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam.
Yanga inatarajiwa kuialika Simba Jumamosi saa 11:00 jioni, ambapo Moshi amesema kuelekea mchezo huo utabiri wake mkubwa ameuweka kwa Yanga kwakuwa ina timu nzuri na wachezaji wake wanajituma tofauti na Simba ambao kwa sasa hawapo vizuri.
Tazama Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: