Sun, 22 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Straika wa Galatasaray, Mauro Icardi sasa amehusika katika mabao 10 kwenye michezo yake 9 ya Turkish Super ligi msimu huu, baada ya bao alilofunga dhidi ya Antalyaspor hapo jana.
Mauro Icardi ndiye mchezaji pekee aliyehusika katika mabao 10 kwenye Turkish Super lig msimu huu akiwa amecheza chini ya dakika 700.
michezo 9
Ameanza michezo 7
Amecheza dakika 654
Mabao 6
Pasi za mabao 4
Amehusika katika mabao 10
Ana wastani wa kufunga bao au kutoa pasi ya bao kila baada ya dakika 65 Ana wastani wa kufunga bao kila baada ya dakika 109
Chanzo: www.tanzaniaweb.live