Thu, 3 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Club ya Coastal Union ya Tanga imetangaza rasmi kumsajili Ibrahim Ajibu kama Mchezaji wao mpya kuelekea msimu wa 2023/024.
Ajibu aliyewahi kucheza Simba, Yanga na Azam FC, msimu uliopita alicheza Singida Fountain Gate FC ya Singida.
Ajibu anakwenda kuungana na Kocha wake aliemfundisha akiwa Yanga, Mkongo Mwinyi Zahera.
Una neno gani la kumwambia Ibrahim Ajibu Migomba?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live