Mon, 2 Sep 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Ahli Tripoli imewataka wachezaji wake 7 waliokwenda kuzitumikia timu zao za taifa kuwahi kurudi kambini ili kujiandaa kuwakabili Simba SC mapema sana katika Shirikisho Afrika.
Wachezaji hao ni;
Cristovao Mabululu
Hamdou Elhouni
Muaid Ellafi
Sanad Al Warfalli
Ghaylen Chaalali
Al-Gozoli Nooh
Bakhit Khamis.
Klabu ya Al Ahli Tripoli itacheza mchezo wa kufuzu hatua ya makundi katika mashindano ya CAF Confederation Cup mnamo 09-15 September, 2024 na marudiano ni tarehe 20/09/2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live