Sat, 8 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal ya Sudan imegoma kumuachia Straika wake Makabi Lilepo alikuwa anahitajika na miamba ya Misri Klabu ya Zamalek.
Zamaleki walitoa kiasi cha Dola za Kimarekani Laki tano (500000) lakini Al Hilal wamegomea ofa hiyo.
Kocha wa Al Hilal Florent Ibenge ametamka wazi kuwa Starika huyo ndio mchezaji wake muhimu katika harakati za kuipatia mataji klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live