Sun, 26 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa kimataifa wa Algeria, Sofiane Locar (30) amefariki dunia kwenye mechi ya Ligi daraja la kwanza Algeria kati ya Mouloduia Saida na ASM Oran.
Mchezaji wa kimataifa wa Algeria, Sofiane Locar (30) amefariki dunia kwenye mechi ya Ligi daraja la kwanza Algeria kati ya Mouloduia Saida na ASM Oran. Lokar alipata shambulio la moyo wakati mechi inaendelea na akafariki licha ya juhudi za wataalam wa afya waliokuwa uwanjani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live