Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Ivory Coast, Seko Fofana ametumia dakika 4 kuipa bao timu yake dhidi ya Guinea- Bissau katika mchezo wa kwanza wa AFCON 2023 ikipigwa nchini humo.
Mchezaji wa Ivory Coast, Seko Fofana ametumia dakika 4 kuipa bao timu yake dhidi ya Guinea- Bissau katika mchezo wa kwanza wa AFCON 2023 ikipigwa nchini humo. Fofana atabaki na kumbukumbu hiyo nzuri katika michuano hii ambayo ndiyo imeanza hatua ya makundi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live