Kama unakumbukumbu wakati wa pre-season niliwahi kuandika kuhusu mazoezi wanayopewa wachezaji wa Yanga na kocha, Taibi Lagrouni raia wa Morocco.
Niliwahi kuandika kuwa mazoezi hayo yanawajenga sana wachezaji wa Yanga kuwa fiti kitu ambacho kitazitesa sana timu zingine.
@taibilagrouni ambaye ameshuhudumu ndabi ya klabu ya RS Berkane iliyokuwa bora kabisa na iliyoleta kombe.
Mpaka sasa msimu huu ligi kuu
Wamefunga jumla ya magoli 26
Mechi 9
Magoli 18
kipindi cha pili 26
Kipindi cha Pili
KMC (goli 4)
JKT Tanzania (Goli)
Namungo (Goli 1)
Geita gold (Goli 2)
Azam (Goli 2)
Simba (Goli 4)
Coastal Union (Goli 1)
Kimataifa
Al-Merrick (Goli 2)
Al-Merrick (Goli 1)
ASAS (Goli 3)
Inaleta tafsiri gani : Timu nyingi ligi kuu zinashindwa kufikia level ya Fitness waliyonayo wachezaji wa Yanga that's why nguvu nyingi hutumika kipindi cha kwanza kuwazuia but kipindi cha pili pumzi hukata wakati ambapo Yanga wao ndio wanaongeza gia nyingine.
Unaamini siri goli tano tano au sita itakuwa imeisha ama wamepumzika ?