Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Sevilla Sergio Ramos amekuwa beki mwenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya UEFA Champions League.
Mlinzi wa Sevilla Sergio Ramos amekuwa beki mwenye magoli mengi zaidi kwenye historia ya UEFA Champions League. Ameweka rekodi hii baada ya kufunga goli moja usiku wa jana kwa mkwaju wa penati amefikisha mabao 17 na kumpiku Gerrard Pique.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live