Mon, 19 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwaka 2015 Mwanaume huyu anayejulikana kwa majina ya “Jose Miguel Polanco” aliwahi kutabiri kwa kuandika "Tweet" na kusema kuwa Messi na Argentina watashinda Kombe la Dunia tarehe 18 Desemba 2022.
Mwaka 2015 Mwanaume huyu anayejulikana kwa majina ya “Jose Miguel Polanco” aliwahi kutabiri kwa kuandika "Tweet" na kusema kuwa Messi na Argentina watashinda Kombe la Dunia tarehe 18 Desemba 2022. Tweet yake imesambaa sana kwenye mitandao ya kijamii baada ya jana Argentina kushinda kombe la Dunia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live