Mon, 12 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi Danielle Orsato raia wa Italia, ndiye atakuwa atakayechezesha mchezo wa nusu fainali Kombe la Dunia 2022 kati ya Argentina dhidi ya Croatia.
Mwamuzi Danielle Orsato raia wa Italia, ndiye atakuwa atakayechezesha mchezo wa nusu fainali Kombe la Dunia 2022 kati ya Argentina dhidi ya Croatia. Mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali utapigwa kesho Disemba 13.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live