Tue, 10 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi Dahane Beida raia wa Mauritania amechaguliwa kuchezesha mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Soka ya Afrika (African Football League) kati ya Wenyeji Simba SC ya Tanzania dhidi ya Mabingwa wa Afrika, Al Ahly katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam siku ya Ijumaa Oktoba 20, 2023.
Mwamuzi Dahane Beida raia wa Mauritania amechaguliwa kuchezesha mchezo wa ufunguzi wa Ligi ya Soka ya Afrika (African Football League) kati ya Wenyeji Simba SC ya Tanzania dhidi ya Mabingwa wa Afrika, Al Ahly katika dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam siku ya Ijumaa Oktoba 20, 2023.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live