Tue, 7 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Juzi katika Dabi ya Kariakoo Kuna wakati Kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua alikuwa anateleza na mpira wala sio kukimbia nao...
Ni kama alikuwa anapita juu ya barafu (Gliding) na ule mpira...wala hatumii nguvu...Effortless...Top technic.
Ni moja ya sajili bora kabisa walizozifanya Yanga dirisha lililopita na tayari ameanza kuonesha thamani yake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: