Tue, 19 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa FC Barcelona Jules Koundé raia wa Ufaransa ametajwa kama mwanasoka aliyevaa vizuri zaidi mwaka wa 2023.
Beki wa FC Barcelona Jules Koundé raia wa Ufaransa ametajwa kama mwanasoka aliyevaa vizuri zaidi mwaka wa 2023. Hii ni kwa mujibu wa jarida la mitindo la London Outlander.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live