Tue, 17 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwamuzi kutoka Uingereza Chris Kavanagh atakuwa mwamuzi wa mchezo wa Chelsea dhidi ya Arsenal wikendi hii utakaopigwa katika Dimba la Stamford Bridge.
Mwamuzi kutoka Uingereza Chris Kavanagh atakuwa mwamuzi wa mchezo wa Chelsea dhidi ya Arsenal wikendi hii utakaopigwa katika Dimba la Stamford Bridge. Jarred Gillett atakuwa katika upande wa teknolojia ya VAR.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live