Wed, 7 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, Kocha wa zamani wa Bayern Munich, Hansi Flick ana nafasi kubwa ya kuchukua nafasi ya Xavi Hernandez anayeondoka klabuni mwishoni mwa msimu huu.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo mbalimbali, Kocha wa zamani wa Bayern Munich, Hansi Flick ana nafasi kubwa ya kuchukua nafasi ya Xavi Hernandez anayeondoka klabuni mwishoni mwa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live