Fri, 22 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tanguy Mebiani kutoka Nchini Gabon ameteuliwa na shirikisho la soka Africa CAF kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa ligi ya mabingwa Africa, Yanga SC dhidi ya Al-Merrikh.
Tanguy Mebiani kutoka Nchini Gabon ameteuliwa na shirikisho la soka Africa CAF kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa ligi ya mabingwa Africa, Yanga SC dhidi ya Al-Merrikh. Mchezo huo utachezwa 30 September 2023 katika uwanja wa Azam complex .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: