Sat, 13 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya JKT Tanzania imemtangaza aliyekuwa kocha wa Tanzania Prisons, Hamady Ally kuwa kocha mkuu klabuni hapo kuelekea msimu mpya wa 2024/25.
Klabu ya JKT Tanzania imemtangaza aliyekuwa kocha wa Tanzania Prisons, Hamady Ally kuwa kocha mkuu klabuni hapo kuelekea msimu mpya wa 2024/25. “Tunayo furaha kuwatangazia kocha wetu mpya atayetufikisha nchi ya ahadi Mr. Hamady Ally ndiye kocha wetu. Soka la pasi nyingi za kasi, kushambulia na kurudi kwa kasi” imesema taarifa ya maafande hao wa JKT Tanzania.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live