Sat, 15 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kocha Edin Terzic kutangaza kuachana na kikosi cha Borussia Dortmund, klabu hiyo Nuri Şahin (35) kuwa kocha wao mpya.
Baada ya kocha Edin Terzic kutangaza kuachana na kikosi cha Borussia Dortmund, klabu hiyo Nuri Şahin (35) kuwa kocha wao mpya. Sahin aliyewahi kutamba na kikosi hicho kama kiungo mshambuliaji anapewa jukumu hilo baada kufanya vyema na moja ya klabu ya nchini kwao Uturuki.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live