Tue, 9 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mpira rasmi utakaotumika kwa ajili Mashindano ya Mataifa Afrika (AFCON 2023) yatakayofanyika nchini Ivory Coast umezinduliwa rasmi na unaitwa jina la Laurent Pokou.
Mpira rasmi utakaotumika kwa ajili Mashindano ya Mataifa Afrika (AFCON 2023) yatakayofanyika nchini Ivory Coast umezinduliwa rasmi na unaitwa jina la Laurent Pokou. Pokou ni jina la mchezaji wa zamani wa taifa hilo. Mpira huo umetengenezwa na Kampuni ya vifaa va michezo, Puma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live