Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa FC Bayern Leon Goretzka na Mlinzi wa Dortmund Mats Hummels wameachwa kwenye kikosi cha Ujerumani kitakacho shiriki michuano ya EURO 2024 nchini Ujerumani,
Kiungo wa FC Bayern Leon Goretzka na Mlinzi wa Dortmund Mats Hummels wameachwa kwenye kikosi cha Ujerumani kitakacho shiriki michuano ya EURO 2024 nchini Ujerumani, Kocha Mkuu Nagelsmann amefanya maamuzi hayo tayai na Kikosi Cha Ujerumani kitatangazwa siku ya Alhamisi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live