Thu, 30 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Nottingham Forest Callum Hudson Odoi ameamua kuiwakilisha Ghana, baada ya Uingereza.
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Nottingham Forest Callum Hudson Odoi ameamua kuiwakilisha Ghana, baada ya Uingereza. Odoi mwenye asili ya Ghana aliyezaliwa Uingereza amerudi Ghana na atakuwepo kwenye mechi za kutafuta nafasi ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live