Thu, 16 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Haya Hapa maingizo 10 bora Mapya katika Vilabu vyao Vipya vya ligi kuu ya Tanzania bara mwanzoni mwa msimu huu na dirisha dogo la Usajili.
1. Maxi Nzengeli - Yanga Sc
2. Yao Kouassi - Yanga Sc
3. Ley Matampi - Coastal Union
4.Feisal Salum - Azam Fc
5. Pacome Zouzoua - Yanga Sc
6. Gibril Sillah - Azam Fc
7. Ayoub lakread - Simba Sc
8. Yona Amos - Tz Prison
9. Elvis Rupia - Singida/Ihefusl sc
10. Mubaraq Amza - Ihefu Sc/Kagera Sugar
Je unadhani nani amekosekana katika hiyo orodha? tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: