Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati huu Ligi Kuu Tanzania Bara 2023/24 (NBC) ikiwa imesimama kupisha ratiba ya FIFA.
Tayari Mizunguko 9 ya Ligi hiyo imeshachezwa mpaka sasa na Yanga ndio Kinara wa Ligi akiwa kileleni na alama zake 24.
Hizi hapa ndio Timu zilizofungwa magoli machache NBC:-
Young Africans imeruhusu mabao 5
Kagera sugar imeruhusu mabao 7
Tabora United imeruhusu mabao 7
Coastal Union imeruhusu mabao 8
Azam FC imeruhusu mabao 9
Dodoma Jiji imeruhusu mabao 9
Namungo imeruhusu mabao 9
Mashujaaa imeruhusu mabao 9
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: