Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya Sintofahamu ya wiki kadhaa kuwa atacheza ama hatacheza dhidi ya Timu tishio barani Afrika ya Mamelodi Sundowns.
Kiungo Fundi wa Yanga Khalid Aucho ni dhahiri kuwa atakuwa fiti kuwavaa Mamelodi baada ya kufanyiwa upasuaji mdogo siku chache zilizopita.
Tazama Video hapa chini kisha utupe maoni yako je unamuona akianza dhidi ya mamelodi au hapana?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: