Thu, 11 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Simba, Ally Salim akioga noti baada ya kuokoa penalti tatu katika tano zilizopigwa na Singida Fountain Gate pia kiwango kizuri katika dakika 90.
Ushindi wa Penati 3-2 walioupata Simba unawapeleka katika mchezo wa Fainali ya Mapinduzi Cup 2024.
Tazam Ally Salim akioga noti kutoka kwa Shabiki hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live