Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Hivi ndio Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super Ligi, Simba ndani

Idadi Ya Vilabu.png Hivi ndio Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super Ligi

Wed, 10 Aug 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo Agosti 10,2022 limezindua rasmi mashindano mapya ya Africa Super League yatakayoshirikisha vilabu 24 kutoka Mataifa 16 tofauti ya kanda tatu za kisoka Afrika huku kila ukanda ukitoa vilabu 8

CAF imepitisha uamuzi huo kupitia Mkutano wake Mkuu wa kawaida wa 44 unaofanyika jijini Arusha Tanzania

Bingwa wa michuano hiyo atavuna zaidi ya bilioni 233 za Tanzania

Tanzania itawakilishwa na Simba SC iliyothibitishwa kushiriki kwenye michuano hiyo inayotarajiwa kufanyika kila mwaka.

Utaratibu rasmi wa michuano hiyo utatangazwa na CAF hivi karibuni

Vilabu 24 vitakavyoshiriki CAF Super League

1 Al Ahly ????????

2 Zamalek????????

3 Pyramid ????????

4 Al Masry????????

5 Wydad AC ????????

6 Raja Athletic ????????

7 RS Berkane ????????

8 Esperance ????????

9 Etoil Sportive Du Suhel ????????

10 Orlando Pirates ????????

11 Kaizer Chiefs ????????

12 Mamelodi Sundowns ????????

13 JS Kabyile????????

14 CR Belouzidad ????????

15 E.S Setif ????????

16 TP Mazembe ????????

17 Horoya AC ????????

18 SC Enyimba????????

19 Petro de Luanda ????????

20 Simba SC ????????

21 Asante Kotoko????????

22 Al Hilal ????????

23 Asec Mimosas????????

24 Coton Sport????????

Chanzo: www.tanzaniaweb.live