Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika timu nne ambazo zimetinga hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAFCL,Mamelodi pekee ndio ambao wana taji moja walilochukua mwaka 2016.
Ukienda kwa mlengwa wa kuhistoria unaona wazi kwamba Mamelodi Sundowns ndio anashika nafasi ya mwisho kati ya hao wanne kwa waliobeba mataji mengi ila mwisho wa siku ubora wa wakati uliopo ndio utaamua bingwa wa msimu huu.
Al Ahly mataji 11
Tp Mazembe mataji 5
Esperance mataji 4
Mamelodi taji 1
Chanzo: www.tanzaniaweb.live