Tue, 25 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania, Himid Mao amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mechi ya Ligi Kuu ya Misri kati ya Ghazl El Mahallah dhidi ya Ismaily SC.
Mchezaji wa Kimataifa wa Tanzania, Himid Mao amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mechi ya Ligi Kuu ya Misri kati ya Ghazl El Mahallah dhidi ya Ismaily SC. Katika mchezo huo, Himid Mao alicheza kwa dakika zote 90 na ulimalizikwa kwa wenyeji Ghazl El Mahallah kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live