Fri, 5 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wapo mkoani Lindi wakipiga tizi zito kwa ajili ya mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam.
Simba wameweka nguvu kubwa kwenye mechi hiyo ya Azam baada ya kuona ndoto za kuwania ubingwa kuanza kuyeyuka.
Picha walizopost kwenye kurasa zao Simba wameonekana wakipiga tizi hilo baab'kubwa kuonesha kwamba kweli wamedhamiria kuvuka na kwenda fainali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live