Sat, 2 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kupata ushindi mwembamba wa goli 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji, Mashabiki wa Klabu ya Wekundu wa Msimbazi Simba wamesema angalau wameridhishwa na kiwango cha timu yao baada ya kuonesha uwezo mkubwa katika mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu.
Mashabiki wa Simba wamesema angalau wamefurahishwa na viwango vya nyota wao wapya ambao walipata nafasi katika mchezo huo.
"Leo hii tunajua asilimia kubwa ya waliosajiliwa wanafanya nini uwanjani ndio maana tulikuwa tunalalamika angalau wapate nafasi" amesema K mziwanda
Chanzo: www.tanzaniaweb.live